Ni rahisi kutunza kuku wa kienyeji
January 22nd, 2013

Unaweza kutunza kuku wa kienyeji na ukawa na kipato cha uhakika, pamoja na lishe nzuri kwa ajili ya familia.

Ulishaji: Kuku wa kienyeji wanaweza kulishwa kwa kumia mahindi, mchele, na mabaki ya ugali…. zaidi>>

Hifadhi mayai wa kwa muda mrefu
January 22nd, 2013

Wakulima wanaowekeza kwenye mradi wa kuku, hupata hasara pale ambapo hawatunzi mayai ipasavyo.

Mayai ni bidhaa hafifu na inayoharibika kwa haraka. Hivyo, ni lazima ishikwe kwa uangalifu na kutunzwa vizuri baada ya kutagwa… zaidi>>

Guatemala: Malisho wakati wa kiangazi
January 22nd, 2013

Majani haya yanatumika kama chakula cha ziada kwa mifugo wakati wa kiangazi, hayatakiwi kutumika kama malisho pekee.

Majani aina ya Guatemala (Tripsacum andersonii) imesambaa kwa kiasi kikubwa katika ukanda wa tropiki. Aina hii… zaidi>>

Anza mapema ili kuwa na mitamba yenye afya
September 12th, 2012

Uangalizi wa karibu kwa mahitaji ya lishe ya mtamba wako, unakuhakikishia uzalishaji wa maziwa akiwa na umri mdog

Unafahamu kwamba inagharimu nini kumfanya mtamba kuzalisha maziwa? Na je unafuatilia maendeleo ya mtamba wako… zaidi>>

Namna ya kuboresha ufugaji wa kuku
August 1st, 2012

Ufugaji wa kuku wa kienyeji unaweza kuimarika kupitia uzalishaji na utunzaji sahihi

Wafugaji wengi wa Tanzania wanafuga kuku wa kienyeji. Ndege hawa kwa kawaida wanafugwa sehemu za vijijini ambapo wanaachiwa huru kuzurura.

Kuna uwezekano… zaidi>>

Vidokezo juu ya namna ya kulisha kuku
May 12th, 2012

Kuku anayetaga kwa siku huhitaji kiasi cha gramu 130 za chakula pamoja na maji safi wakati wote.

• Kuku mmoja anahitaji wastani wa kilo 2.2 za chakula kwa wiki 8. Hivyo, kuku 100… zaidi>>

Ufugaji wa nguruwe ni rahisi na wenye tija
March 12th, 2012

Nguruwe ni mnyama mwenye faida, ni rafiki kwa mazingira na hahitaji gharama kubwa

“Ufugaji wa Nguruwe ni lazima uwe wa kisasa ili kupata mazao bora. Unaweza kupata kila unachohitaji wewe, familia na hata… zaidi>>

Ufugaji wa nyuki ni kazi nzuri ya ziada
December 3rd, 2011

Ufugaji wa nyuki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato cha ziada kwa wakulima wadogo wadogo.

Uzalishaji wa asali nchini Tanzania umekuwa ukitegemea sana wafugaji wadogo wadogo, wanaotumia njia za kiasili kama… zaidi>>

Mahitaji ya ng’ombe ili aongeze maziwa
August 4th, 2011

Wape ng’ombe wako lishe kamili, yenye nguvu, protini, na vitamin pamoja na maji ya kutosha.

Kulisha ng’ombe kwa kutumia aina yoyote ya malisho haitoshi kukuhakikishia ng’ombe anakuwa na afya nzuri na kutoa… zaidi>>

Jinsi ya kuzuia magonjwa ya kuku
July 28th, 2011

Ufugaji wa kuku una faida kubwa, lakini mkulima anatakiwa kuzuia kadri awezavyo uwezekano wa kuwepo magonjwa shambulizi.

Wafugaji wengi wamekuwa wakiwekeza katika ufugaji wa kuku. Ufugaji huo unalenga kuku wa kisasa au wa… zaidi>>