News

TAARIFA YA HALI YA HEWA NA TMA

24/03/2026

1.0 MUHTASARI WA MWENENDO WA MVUA KWA TAREHE 11-20 MACHI, 2026 NA MATARAJIO YA MVUA KWA TAREHE 21-31 MACHI, 2026....

JOB VACANCY: INTERN FOR MKM PROJECT

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

TERMS OF REFERENCE FOR MKULIMA MBUNIFU PROJECT INTERN

18/02/2025

Mkulima Mbunifu is seeking to recruit suitably qualified intern to...

Za hivi karibuni

TAARIFA YA HALI YA HEWA NA TMA

24/03/2026

1.0 MUHTASARI WA MWENENDO WA MVUA KWA TAREHE 11-20 MACHI, 2026 NA MATARAJIO YA MVUA KWA TAREHE 21-31 MACHI, 2026. 1.1 MUHTASARI WA MWENENDO WA VIASHIRIA NA MIFUMO YA MVUA TAREHE 11-20 MACHI, 2026. Katika kipindi hiki, migandamizo mikubwa ya...

TENDA YA USAFIRI SAT (MKULIMA MBUNIFU – ARUSHA)

10/03/2026

SAT inatafuta Usafiri na dereva kwa ajili ya kuwasafirisha wafanyakazi wake wa mradi wa Mkulima Mbunifu wakati wakienda sehemu mbalimbali hasa maeneo ya vijijini kwa wakulima wanufaika wa mradi mara kwa mara na popote wafanyakazi watakapo Kwenda kwa shughuli za...

Baadhi ya mimea huboresha mboji

19/09/2025

Ni kwa nini wakulima huchanganya aina nyingi za mimea wanapotengeneza mboji? Aina tofauti za mimea huwa na aina tofauti za virutubisho, na pia huchangia kwa kiasi kikubwa kuwezesha kuoza kwa aina nyingine za mimea hivyo kutengeneza mbolea nzuri. Unapotengeneza mboji,...

Kwa nini miembe inadondosha maua?

19/09/2025

Kudondoka kwa maua kwenye miembe yako inaweza kutokana na upungufu au ukosefu wa aina fulani ya madini. Virutubisho na madini kwenye miembe vinahitaji ufahamu na uelewa wa hali ya juu kwa kile kinachohitajika. Tofauti na hilo, unahitaji kuzingatia kiasi cha...

Je, Una swali lolote kuhusiana na ufugaji wa Samaki? Tuulize, Tukujibu

18/09/2025

Ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa MkM kuthamini maoni yako na kujibu maswali yenu kwa kupitia wataalamu wa kada mbalimbali. Katika toleo hili Musa Said ambaye ni mtaalamu wa Samaki anaendelea kujibu maswali kuhusiana na ufugaji wa samaki. Shime, kama...