News

Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika: India Katika Sekta Inayokua kwa Kasi ya Kilimo, Mifugo na Chakula Tanzania

03/08/2026

Usikose Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika Ukiwa na wageni 10,000, kampuni 1,000, na nchi 35 zikikutana kwa siku mbili,...

Za hivi karibuni

MAONESHO YA 10 YA AFRICA AGRI EXPO 2026 YAANZA DAR ES SALAAM

02/09/2026

Teknolojia, uwekezaji na kilimo endelevu vyapewa nafasi katika mjadala wa mustakabali wa sekta ya kilimo DAR ES SALAAM: Maonesho ya 10 ya Africa Agri Expo 2026 yameanza leo, Septemba 2, katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Trade Fair Grounds, maarufu...

Uko tayariiii??? Africa Agro Expo ni Kesho!! MKULIMA MBUNIFU TUTAKUWEPO

31/08/2026

TUNAWAKUMBUSHA TENA!  Tarehe 2–3 Septemba 2026 | Uwanja wa Maonesho ya Biashara wa Mwalimu J.K. Nyerere, Dar es Salaam, Tanzania Sekta za kilimo, mifugo na usindikaji wa chakula barani Afrika zinaingia katika kipindi kipya cha ukuaji, na mwezi huu wa...

Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika: India Katika Sekta Inayokua kwa Kasi ya Kilimo, Mifugo na Chakula Tanzania

03/08/2026

Usikose Tukio Kuu la Kilimo Barani Afrika Ukiwa na wageni 10,000, kampuni 1,000, na nchi 35 zikikutana kwa siku mbili, AAE na FLIP 2026 ni miongoni mwa fursa muhimu zaidi za biashara katika kalenda ya kilimo Afrika mwaka huu. Iwe...

Umejiandaa kuhudhuria maonyesho ya wakulima maarufu kama Nanenane?

13/07/2026

Hakika siku hazigandi, saa nayo inatembeza mshale wake kwa haraka zaidi, hatimaye sasa tumebakiza siku chache sana kuanza kwa maonyesho ya wakulima Nanenane. Kama kawaida, Serikali kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali, wajasiriamali, watu binafsi na wananchi kwa ujumla wanakuandalia maonyesho...

Expo ya Kilimo ya Afrika Inakuja Dar es Salaam, Usikose!

15/06/2026

Tarehe 2 na 3 Septemba 2026, Dar es Salaam itakuwa kitovu cha kilimo cha Afrika. Kila mwaka, wakulima, wafanyabiashara, wawekezaji, na wataalamu wa kilimo kutoka nchi mbalimbali wanakutana katika mkutano mmoja mkubwa kuzungumza biashara, kujifunza, na kuunda ushirikiano. Mwaka huu,...